KP & ZEBUU _ FUNGU LA KUKOSA
72,842
Published 2024-05-20
All Comments (21)
-
Ahhhh kp please km mmegomban na ao wat watatu naomb mmalize tofaut zenu warud ulingon please please please me npnda mkiwa p1๐๐๐
-
Tumewamiss wazee we2 kp fanya mpango waonekane bas
-
Kp please rudisha mzee likona..dibosi na suraji ama tungome kuwatch kipindi chako๐๐
-
Kp kama umezenguana namzee likoma, dibozi,suraji unatunyima utamu warudisheni bhna wanafanya movie zako zinoge
-
Michezo yenu Bila mzee likoma,dibozi manuva na Suraji,ni matope tu.kutoka Burundi
-
Yaani Kila mtu na kipaji chake Kuna sehemu anahitajika kabisa mzee likoma dibozi na suraji ila unafosi Kwa wengine havinogi
-
Nahisi kua mzehe likoma na Dibonzi na sulaji wanaweza kua wamegombana na Kp sio kawaida kukosa kilasiku tume wamiss sana ๐ข๐ข๐ข
-
Unyama mwingi sana โคโค๐ฎ๐ฎ๐
-
We zebuu hizo mbio wa kukukamata mpaka angekuwa suraj๐ ๐ ๐
-
Wakwanza kutoka Kenya Nairobi likes zangu akii
-
Hahahaha ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ eti, digiliii kwenye kabati
-
Kicheko Cha Zebuu kinanifanya naipenda hii kazi๐
-
Kp huyo mhusika wako katika sonaa ni kama haleti shangwe...umezinguana na akina dibozi ndo utuletee yule...acha tutamcheki kma anaendana na team yako cpendi mchezo nataka wale wazee pamoja na silaji...nko apa ๐ฐ๐ช ๐ฐ๐ช ๐ฐ๐ช
-
Story iko vizuri Ila mmeshindwa kuitendea haki
-
I miss mze likoma anda dibozi... from Zambia โค๏ธ
-
Ukweli tuseme bila wale watu watatu likoma , Suraj na yule mwingine nimemsahau jina naona kama mmepoa kiac
-
Muvi zenu ni nzuri sana hata wasiwepo kina diboz likoma na Suraj ila tu inapendeza mkiwa wote Mana mmetoka mbali Sana na mnapendeza Sana mkiwa pamoja
-
Nakubali team KP hii kali san
-
We kp tume miss dobozi na likoma wako wapi ๐ข
-
Kp Mzee likoma mume gombana na suraji na diboz nawapenda nyote kz mzr